Goodbye 2019, Welcome 2020


Mwaka 2020 ni mwaka ambao unagawanyika kwa nne katika kalenda ya Kirumi iliyoanzishwa na Julius Caesar.

Hivyo utakuwa ni mwaka mrefu Mwaka huu unaanza siku ya leo Jumatano kwa mujibu wa kalenda ya Gregori.

Itakumbukwa kwa sasa kalenda ya Gregori imekuwa ikitumiwa maeneo mengi ulimwenguni katika shughuli za kiharakati, kiofisi na kiutawala. Mwaka 2020 ni mwaka wa 20 katika millennia ya tatu baada ya mwaka wa Bwana Anno Domini (AD).

Pia mwaka 2020 ni mwaka wa 20 wa karne ya 21 na ni mwaka wa kwanza katika muongo wa pili.



Post a Comment

0 Comments

Total Pageviews