Mungu humpa heri kila mwenye kusubiri

 

Mwenyezi Mungu katika lugha ya Kiswahili ni jina linalotumika kwa Muumba wa kila kitu, Mwenye kuabudiwa kwa haki, kinyume na neno mungu ambalo linamaanisha chochote au yeyote anayeabudiwa ikiwa kwa haki au si kwa haki.  Neno Mwenyezi linaunganisha ‘Mwenye’ na ‘enzi’ na kumpatia Mungu sifa ya kuweza yote, bila kuzuiliwa na yeyote wala chochote.


Post a Comment

0 Comments

Total Pageviews